Jaku Hashim Ayoub

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jaku Hashim Ayoub ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Mapinduzi (CCM). Ameingia katika bunge la Tanzania kama mjumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017