Nenda kwa yaliyomo

Isack Aloyce Kamwelwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe Aloyce Mb

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Aliingia ofisini 
1 Julai 2018
Rais Mhe. Dkt. John Magufuli
mtangulizi Makame Mbarawa

Waziri wa Maji na Umwagiliaji
Muda wa Utawala
7 Octoba 2017  1 Julai 2018
Rais Mhe. Dkt. John Magufuli
mtangulizi Gerson Lwenge
aliyemfuata Makame Mbarawa

Mbunge wa Katavi
Muda wa Utawala
2015  16 Juni 2020
Rais Mhe. Dkt. John Magufuli

tarehe ya kuzaliwa Aprili 30, 1956
utaifa Mtanzania
chama CCM
Fani yake Mhandisi

Isack Aloyce Kamwelwe (amezaliwa 30 Aprili 1956) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Katavi kwa miaka 20152020. [1]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania Ilihifadhiwa 25 Januari 2020 kwenye Wayback Machine., iliangaliwa Juni 2017
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Isack Aloyce Kamwelwe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.