Isack Aloyce Kamwelwe
Mandhari
| Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe Aloyce Mb | |
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano | |
| Aliingia ofisini 1 Julai 2018 | |
| Rais | Mhe. Dkt. John Magufuli |
|---|---|
| mtangulizi | Makame Mbarawa |
Waziri wa Maji na Umwagiliaji | |
| Muda wa Utawala 7 Octoba 2017 – 1 Julai 2018 | |
| Rais | Mhe. Dkt. John Magufuli |
| mtangulizi | Gerson Lwenge |
| aliyemfuata | Makame Mbarawa |
Mbunge wa Katavi | |
| Muda wa Utawala 2015 – 16 Juni 2020 | |
| Rais | Mhe. Dkt. John Magufuli |
| tarehe ya kuzaliwa | Aprili 30, 1956 |
| utaifa | Mtanzania |
| chama | CCM |
| Fani yake | Mhandisi |
Isack Aloyce Kamwelwe (amezaliwa 30 Aprili 1956) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Katavi kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania Ilihifadhiwa 25 Januari 2020 kwenye Wayback Machine., iliangaliwa Juni 2017
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Isack Aloyce Kamwelwe kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |