Nenda kwa yaliyomo

Ilidi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Ilidi katika dirisha la kioo cha rangi.

Ilidi (kwa Kifaransa: Alyre; alifariki 384 hivi) alikuwa askofu wa 4 wa Clermont-Ferrand [1].

Kaisari wa Dola la Roma Magharibi alimuita Trier ili kutoa pepo katika binti yake; wakati wa kurudi alifariki njiani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Juni[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  • Jacques Baudoin, Grand livre des saints : culte et iconographie en Occident, Nonette, Créer, 2006, p. 83. (Kifaransa)
  • Laura Foulquier, « Le remploi de l'Antiquité dans le Moyen Âge chrétien : souvenir ou mythe ? », in Métamorphoses du mythe : réécritures anciennes et modernes des mythes antiques, Edizioni Orizons, 2008, p. 281. ISBN|9782296188495 (Google Books.) (Kifaransa)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.