Hildemarka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hildemarka (alifariki Fecamp, 682 hivi) alikuwa abesi wa monasteri wa Fecamp nchini Ufaransa kwa miaka 16 [1].

Huko alimpokea kwa wema na kumtunza askofu Leodegar wa Autun ambaye alikuwa amelemazwa na baadaye akatekwa na kuuawa na adui yake.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu bikira.

Sikukuu yake ni tarehe 19 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/58420
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.