Henrique Abranches

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Henrique Abranches (29 Septemba 19328 Agosti 2004) [1] alikuwa mwandishi na mtunzi wa mashairi wa Angola [2].

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa katika jiji la Lisbon nchini Ureno, lakini mwaka 1947, alihamia nchini Angola na kupata uraia wa nchi hiyo.

Alikuwa mwandishi wa vitabu vya historia ya Angola, mbali na kuwa mwalimu, mshairi na mwandishi wa Insha, pia alikuwa mwalimu wa elimu ya juu na mkurugenzi wa makumbusho ya taifa ya utumwa.

Tuzo[hariri | hariri chanzo]

  • National Literature Award (1981) .[3]
  • National Literature Award (1990) [3]
  • Luanda trophy (1997)[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Angola: Head of State Praises Deceased Henrique Abranches". 16 August 2004 – kutoka AllAfrica.  Check date values in: |date= (help)
  2. "Editorial Caminho - Henrique Abranches". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-09-27.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
  3. 3.0 3.1 3.2 "Writer Henrique Abranches Dies". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-11-07. Iliwekwa mnamo 2020-04-27. 
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Henrique Abranches kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.