Hellen Dausen
Mandhari
Hellen Dausen ni mwanamke Mtanzania aliyetangazwa na kampuni ya Forbes kama mmoja wa wajasiriamali tajiri chini ya miaka thelathini na wengine toka nchi ya Kenya, Madagascar, Nigeria, Benin, Gambia na Zimbabwe[1].
Pia ni mshindi wa taji la Urembo Tanzania mwaka 2010 [2] na mwanzilishi na mjasiriamali katika shughuli za urembo wa kampuni inayoitwa Nuya's Essence, LLC. Natural Bath & Body Care.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-04-03. Iliwekwa mnamo 2018-09-08.
- ↑ https://www.forbes.com/sites/kerryadolan/2016/06/06/africas-most-promising-entrepreneurs-forbes-africas-30-under-30-for-2016/#dc5f7ab1f434
| Makala hii kuhusu wasifu wa Mtanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |