Hawa Abdulrahman Ghasia
Mandhari
(Elekezwa kutoka Hawa Ghasia)
Hawa Abdulrahman Ghasia (amezaliwa tarehe 10 Januari 1966) ni mbunge katika Bunge la Tanzania tangu mwaka wa 2005, 2010 na 2015. Katika serikali ya Rais Jakaya Kikwete, Ghasia alikuwa Waziri wa Huduma za Umma.
Mwaka wa 2003 alipata shahada ya pili katika somo la Maendeleo ya Vijijini kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine.[1] [2]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Profile: Hon. Hawa Abdulrahiman Ghasia". Parliament of Tanzania. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Oktoba 14, 2016. Iliwekwa mnamo Oktoba 20, 2016.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ https://prabook.com/web/hawa.ghasia/2336594
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Wasifu wa Ghasia ktk tovuti ya Bunge Ilihifadhiwa 6 Aprili 2009 kwenye Wayback Machine.
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Hawa Abdulrahman Ghasia kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |