Hamisi Andrea Kigwangalla

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mheshimiwa Hamisi A. Kigwangalla Mb


Waziri wa Maliasili na Utalii
Aliingia ofisini 
7 Octoba 2017
mtangulizi Jumanne Maghembe

Mbunge wa Nzega
Aliingia ofisini 
November 2010
mtangulizi Lucas Selelii

tarehe ya kuzaliwa 7 Agosti 1975 (1975-08-07) (umri 48)
utaifa Mtanzania
chama CCM
ndoa Bayoum Awadh
mhitimu wa Muhimbili University of Health and Allied Sciences (M.D.)
Karolinska Institutet (M.P.H.)
Blekinge Institute of Technology (MBA)
Fani yake Daktari wa Binadamu
tovuti hamisikigwangalla.com

Hamisi Andrea Kigwangalla (amezaliwa 7 Agosti 1975) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Nzega Vijijini kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania Archived 25 Januari 2020 at the Wayback Machine., iliangaliwa Juni 2017