Hamisi Andrea Kigwangalla
Mandhari
| Mheshimiwa Hamisi A. Kigwangalla Mb | |
Waziri wa Maliasili na Utalii | |
| Aliingia ofisini 7 Octoba 2017 | |
| mtangulizi | Jumanne Maghembe |
|---|---|
Mbunge wa Nzega | |
| Aliingia ofisini November 2010 | |
| mtangulizi | Lucas Selelii |
| tarehe ya kuzaliwa | 7 Agosti 1975 |
| utaifa | Mtanzania |
| chama | CCM |
| ndoa | Bayoum Awadh |
| mhitimu wa | Muhimbili University of Health and Allied Sciences (M.D.) Karolinska Institutet (M.P.H.) Blekinge Institute of Technology (MBA) |
| Fani yake | Daktari wa Binadamu |
| tovuti | hamisikigwangalla.com |
Hamisi Andrea Kigwangalla (amezaliwa 7 Agosti 1975) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Nzega Vijijini kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania Ilihifadhiwa 25 Januari 2020 kwenye Wayback Machine., iliangaliwa Juni 2017
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Hamisi Andrea Kigwangalla kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |