Halvard Mtakatifu
Mandhari
(Elekezwa kutoka Hallvard Mtakatifu)

Halvard Mtakatifu (jina asili: Hallvard Vebjørnsson; 1020 hivi – 1043) ni msimamizi wa Oslo, mji mkuu wa Norwe.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini kwa sababu aliuawa katika jitihada za kumuokoa mwanamke mjamzito dhidi ya wasingiziaji wake.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- St. Hallvard
- Den hellige Hallvard
- St. Hallvards Day Ilihifadhiwa 2 Agosti 2018 kwenye Wayback Machine.
- Hl. Hallvard fra Lier
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |