Halvard Mtakatifu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Hallvard Mtakatifu)
Mt. Halvard katika mhuri wa Oslo

Halvard Mtakatifu (jina asili: Hallvard Vebjørnsson; 1020 hivi – 1043) ni msimamizi wa Oslo, mji mkuu wa Norwe.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini kwa sababu aliuawa katika jitihada za kumuokoa mwanamke mjamzito dhidi ya wasingiziaji wake.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Mei.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.