Godfredi wa Amiens

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Godfredi alivyochorwa.

Godfredi wa Amiens (pia Godfrey, Godefroy, Geoffroy; Soissons, 1066 - Soissons, 8 Novemba 1115) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa[1]. Kabla yake alikuwa mmonaki na abati.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. The oldest catalogue of Amiens's bishops exists in a late twelfth-century collection of the works of Robert of Torigny (J.S. Ott, "Urban space, memory, and episcopal authority: The bishops of Amiens in peace and conflict, 1073-1164", Viator 31.3, 2000).
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • (Kifaransa) Essai sur Saint Geoffroy, évêque d'Amiens - Guérard - 1843
  • (Kifaransa) Histoire de la ville d'Amiens depuis les gaulois jusqu'à nos jours - R.de Hyacinthe Dusevel - 1848 - Amiens (France) - Page 259 - (Gallica)
  • (Kifaransa) Le livre des saints et des prénoms - Alain Guillermou - 1976 - Page 146
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.