Hieroni na wenzake
Mandhari
(Elekezwa kutoka Geroni na wenzake)


Hieroni na wenzake wengi sana [1] (walifariki Melitene, Armenia ya kale, leo nchini Uturuki, 290 hivi) walikuwa Wakristo wa Dola la Roma waliopata kuwa wafiadini chini ya kaisari Dioklesyano. [2]
Tangu kale wanaheshimiwa na Waarmenia, Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ 32 kwa alfabeti ni: Amonito, Anikleto, Athanasi, Barakio, Diodoto, Dorotheo, Dusisi, Epifani, Eugeni, Eutiki, Giganti, Hesiki, Hilarioni, Kalimako, Kaliniko, Kastrikio, Klaudiano, Ksanthi, Lonjino, Mamasi, Masimiani, Nikanda, Nikoni, Ostriki, Themeli, Theodoko, Theodoro, Theodoto, Theodulo, Theofili, Theogene, Valeri.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/93020
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |