Gebre Menfes Kidus
Mandhari

Gebre Menfes Kidus (kwa Ge'ez: ገብረ መንፈስ ቅዱስ; pia: Abo tu) alikuwa mmonaki wa Misri aliyekwenda Ethiopia na kuanzisha monasteri ya Mlima Zuqualla.
Hayajulikani mengi ya hakika kuhusu historia yake[1], ila tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ In his book "Vita Omelia Miracoli" del Santo Gebre Menfes Kidus (Lovanii, 2003) Paolo Marrassini extensively treats diverse Ethiopian manuscripts dealing with Gebre Menfes Kidus. Marrassini offers a translation of various texts about the life of this saint, a homily about his youth, and texts about the miracles Gebre Menfes Kidus is said to have performed during his lifetime.
- ↑ Donald N. Levine, Wax and Gold: Tradition and Innovation in Ethiopia Culture (Chicago: University Press, 1972), p. 73
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Ethiopian Saints. The Coptic encyclopedia, Volume 2 (Claremont Colleges Digital Library). 1991.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |