Futari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Watu wakila futari pamoja.

Futari (kutoka neno la Kiarabu iftar) ni chakula maalum ambacho huliwa katika mwezi wa Ramadhani wakati wa jioni baada ya kufunga.

Ndiyo chakula cha pili cha siku; kufunga kwa kila siku wakati wa Ramadan huanza mara moja baada ya chakula cha asubuhi ya Suhur, ukamalizika wakati wa jioni na ndipo futari huliwa.

Maelezo[hariri | hariri chanzo]

Futari ni mojawapo ya chakula cha kidini ambacho huliwa wakati wa Ramadani na mara nyingi hufanyika na jamii, yaani watu wanakusanyika ili kufuturu pamoja. Futari inachukuliwa tu kabla ya Maghrib, yaani machweo. Waislamu wengi wanaamini kuwa kulisha mtu kamatar kama namna ya sadaka na yenye manufaa sana na kwamba hayo yalifanywa hata na Mtume Muhammad.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.