Fidelis, Felisi na wenzao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Fidelis, Felisi na wenzao Kresenti, Liberati, mke wake na watoto wao wawili ni kati ya Wakristo wa Afrika Kaskazini waliouawa kwa ajili ya imani yao. Kresenti alikuwa padri.

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yao, hawaorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 23 Machi[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.