Faustini na Jovita
Mandhari

Faustini na Jovita (walifariki Brescia, Lombardia, Italia Kaskazini, 120 au 124) walikuwa Wakristo ambao walifia imani yao chini ya kaisari Hadrian [1].
Inasemekana Faustini alikuwa shemasi na mwenzake mhubiri waliopigania sana imani.
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 15 Februari[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Jovita and Faustinus at the Catholic Encyclopedia
- Faustinus at Patron Saints Index
- Saint of the Day, February 15: Jovita and Faustinus Ilihifadhiwa 23 Aprili 2011 kwenye Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |