Fantino Mzee

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Wat. Elia na Filarete.

Fantino Mzee (Palmi, Calabria, 293 - Palmi, 336) alikuwa Mkristo wa Italia Kusini maarufu kwa miujiza yake [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu]], wa kwanza kutoka mkoa wake.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/64120
  2. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Antonio Scordino, La chiesa veneziana di San Fantino il Calabrese, in Brutium, anno LXX, n. 1-2, 1991, pp. 10-11. (Kiitalia)
  • Pietro vescovo occidentale, La vita e i miracoli del santo e glorioso servo di Cristo, Fantino, a cura di Domenico Minuto, Reggio Calabria, Pontari, 2003, ISBN 88-86046-19-7. (Kiitalia)
  • Felice Costabile, Il ninfeo romano ed il complesso monastico di S. Fantino a Taurianum, in Klearchos, n. 18, 1976, pp. 83-119. (Kiitalia)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.