Eufrasi wa Clermont

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Eufrasi wa Clermont (Galia, Ufaransa wa leo, karne ya 5 - Clermont-Ferrand, 515) alikuwa askofu wa 13[1] wa mji huo, katika mkoa wa Akwitania, kuanzia mwaka 490 hadi kifo chake[2]

Alisifiwa na Gregori wa Tours kwa ukarimu wake. [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Januari[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. II, p. 35.
  2. Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. II, p. 35. Dictionnaire d'archéologie chrétienne et de liturgie, III/2, col. 1916.
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/37580
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.