Diski Gandamize

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mfano wa Diski Gandamize.
CD-R, ya kuhifadhia maelezo muhimu ya tarakilishi.
CD-R, ya kuhifadhia maelezo muhimu ya tarakilishi.

Diski Gandamize (kwa kifupi: DIGA; pia: Diski Songamano[1]; kwa Kiingereza: Compact Disc; kifupi: CD) ni kifaa cha kutunzia data katika utarakilishi, inayotumika hasa kuandika, kutunza au kucheza sauti, video au data nyingine kwenye hali ya kidijiti.

Diski hii ni ya kigae, au/na ya plastiki.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.