Dionisya wa Vita na wenzake

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Dionisya na mwanae (Majoriko), mchoro wa Jacques Callot, miaka ya 1630.

Dionisya wa Vita na wenzake (dada yake Dativa, Leonsya, Tersyo, Emiliani, Bonifasi, mbali ya mtoto wake Majoriko) ni wafiadini wa Kanisa Katoliki waliouawa kikatili sana na Wavandali katika karne ya 5, wakati wa utawala wa mfalme Huneriki aliyekuwa Mwario.

Habari zao zimeandikwa na askofu Vikta wa Vita.[1]

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 6 Desemba[2][3][4][5][6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.