Chuo Kikuu Kishiriki cha Jordan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Chuo Kikuu Kishiriki cha Jordan ni tawi la Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania lililopo Morogoro.[1]

Historia[hariri | hariri chanzo]

Wakuu wa mashirika ya kitawa wanaofanya kazi nchini Tanzania walikubaliana mapema na Mkuu wa misheni ya Wasalvatoriani, Fr. Andrew Urbanski, kwamba kulikuwa na hitaji la taasisi ya Elimu ya juu kwa wanashirika wao, haswa wale walioitiwa upadri.

Hivyo ilianzishwa seminari kuu kwa watawa ya mashirika yoyote, iliyogeuzwa baadaye kuwa Taasisi ya Falsafa na Teolojia na hatimaye Chuo Kishiriki cha Jordan.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Wayback Machine". web.archive.org. 2015-09-24. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-09-24. Iliwekwa mnamo 2021-06-19. 
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chuo Kikuu Kishiriki cha Jordan kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.