Nenda kwa yaliyomo

Chokowe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chokowe
Chokowe mwekundu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Charadriiformes (Ndege kama vitwitwi)
Familia: Scolopacidae (Ndege walio na mnasaba na sululu)
Jenasi: Calidris Merrem, 1804

Prosobonia Bonaparte, 1850

Chokowe ni ndege wadogo wa jenasi Calidris na Prosobonia katika familia ya Scolopacidae. Nje ya majiri ya kuzaa huonekana hasa karibu na maji (bahari, maziwa, mito) lakini spishi chache huonekana mbali na maji (k.m. Calidris subruficollis). Takriban spishi zote hutaga mayai chini tundrani kwa kanda za akitiki za Ulaya, Asia na Amerika. Hula wadudu, gegereka na nyungunyungu.

Spishi za Afrika

[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine

[hariri | hariri chanzo]