Cheruku

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Cheruku
Cheruku kaskazi
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Charadriiformes (Ndege kama vitwitwi)
Familia: Glareolidae (Ndege walio na mnasaba na bwabwaja)
Ngazi za chini

Jenasi 3:

Cheruku ni ndege wa jenasi mbalimbali katika familia Glareolidae. Ndege hawa wanaweza kukimbia sana. Wanatokea mahali pakavu kama nyika au jangwa. Hula nzige na wadudu wengine na huyataga mayai mchangani. Cheruku-mamba huonekana karibu na mito na hutaga mayai yake kwa mafungu ya mchanga mtoni. Huainishwa na wataalamu wengine katika familia Pluvianidae. Spishi hii hula wadudu lakini pia hutoa nyama kwa kati ya meno ya mamba.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za Asia[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]