Chadli Bendjedid

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Chadli Bendjedid

raisi wa tatu wa algeria
Nchi Algeria
Kazi yake Rais


Chadli Bendjedid (amezaliwa 14 Aprili 1929) alikuwa Rais wa nchi ya Algeria kuanzia 9 Februari 1979 hadi 11 Januari 1992. Alifuatwa na Mohamed Boudiaf.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Chadli Bendjedid kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.