Brito
Mandhari

Brito (alifariki 386) alikuwa askofu wa mji huo[1][2][3] wa Galia, leo nchini Ujerumani) kuanzia mwaka 374 hadi kifo chake.
Kama watangulizi wake alipigania imani sahihi; alisimama dhidi ya Waprisiliani lakini alijitahidi bure, pamoja na Ambrosi na Hilari wa Poitiers, kuzuia wasiwaue na watu wakatili [4].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Ekkart Sauser : Saints and Blessed in the Diocese of Trier (1987).
- ↑ NewAdvent.org Trier
- ↑ GCatholic.org Diocese of Trier
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/51920
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Ekkart Sauser: Heilige und Selige im Bistum Trier. Trier 1987
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |