Brito

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Orodha ya maaskofu wa Trier.

Brito (alifariki 386) alikuwa askofu wa mji huo[1][2][3] wa Galia, leo nchini Ujerumani) kuanzia mwaka 374 hadi kifo chake.

Kama watangulizi wake alipigania imani sahihi; alisimama dhidi ya Waprisiliani lakini alijitahidi bure, pamoja na Ambrosi na Hilari wa Poitiers, kuzuia wasiwaue na watu wakatili [4].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 5 Mei[5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.