Basilika la Mt. Fransisko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mandhari ya kilima ikiwa ni pamoja na konventi na basilika.
Basilika upande wa juu.
Ukumbi wa juu kwa ndani.

Basilika la Mt. Fransisko huko Assisi, (mkoa wa Umbria, (Italia) ni kanisa kubwa lililojengwa kwa muda mfupi (1228-1253) ili kutunza masalia ya Fransisko wa Asizi (1182-1226).

Ni kati ya patakatifu panapotembelewa na watu wengi zaidi, milioni kadhaa kila mwaka.

Kutokana na ubora wa sanaa zake, mwaka 2000 limetangazwa kuwa urithi wa dunia.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Bokody, Péter. "Mural Painting as a Medium: Technique, Representation and Liturgy." In Image and Christianity: Visual Media in the Middle Ages, ed. Péter Bokody (Pannonhalma: Pannonhalma Abbey, 2014), 136-151. https://www.academia.edu/8526688/Mural_Painting_as_a_Medium_Technique_Representation_and_Liturgy

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Basilika la Mt. Fransisko kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.