Avignon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Avinyoni)
Sehemu ya mji wa Avignon


Avignon
Avignon is located in Ufaransa
Avignon
Avignon

Mahali pa mji wa Avignon katika Ufaransa

Majiranukta: 43°57′0″N 4°49′01″E / 43.95000°N 4.81694°E / 43.95000; 4.81694
Nchi Ufaransa
Mkoa Provence-Alpes-Côte d'Azur
Wilaya Vaucluse
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 92,454
Tovuti:  www.avignon.fr

Avignon ni mji wa Ufaransa kusini.

Katika historia unakumbukwa hasa kwa sababu katika miaka 1309-1377 Mapapa saba walikuwa na makao yao huko badala ya kuishi mjini Roma.

Katika miaka 1348-1791 Papa alikuwa ndiye mtawala wa mji huo.

Kwa sababu hizo, mwaka 1995 kiini cha mji huo kimetangazwa mahali pa Urithi wa Dunia.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Avignon travel guide kutoka Wikisafiri

Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Avignon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.