Autberi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Aubert katika ikulu ya Bruxelles, Ubelgiji.

Autberi (pia: Aubert; Haucourt, 600 hivi - Cambrai, leo Ufaransa, 669 hivi) alikuwa mmonaki, halafu askofu wa Arras na Cambrai kuanzia mwaka 633.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Desemba[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • M. Le Glay, Cameracum christianum ou Histoire ecclésiastique du Diocèse de Cambrai, 1849, Imprimerie L.Lefort à Lille, page xii, bibliothèque de l'Université de Gand, numérisé par Google Books
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.