Arsasi wa Nikomedia
Mandhari
Arsasi wa Nikomedia (alifariki Nikomedia, leo Izmit, nchini Uturuki, 16 Agosti 358) alikuwa askari wa Dola la Roma mwenye asili ya Uajemi.
Baada ya kuungama hadharani imani ya Kikristo wakati wa kaisari Licinius, aliacha jeshi aende kuishi upwekeni karibu na Nikomedia.
Alihimiza wakazi wa mji huo kusali na kufanya toba akitabiri tetemeko la ardhi lililouangamiza pamoja na kumuua mwenyewe[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/66170
- ↑ Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001, ISBN|88-209-7210-7)
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Bolland, Bibl. hag. lat. (1891)
- Pinio De Sancto Arsacio sen Ursacio confessore (1737)
- Surio Vitae Sanctor (1618)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |