Armogaste

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Armogaste (alifariki 462 hivi) alikuwa Mkristo Mkatoliki wa ukoo bora ambaye aliteswa kikatili sana na Wavandali katika karne ya 5, wakati wa utawala wa mfalme Genseriki aliyekuwa Mwario. Hatimaye hakuuawa bali alifanywa mtumwa ili afe bila sifa ya kufia dini[1].

Habari zake zimeandikwa na askofu Vikta wa Vita[2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Machi pamoja na ya wenzake Arkinimo na Saturus[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.