Antonino wa Piacenza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Mt. Antonino kilivyochorwa.

Antonino wa Piacenza (alifariki Piacenza, 303) alikuwa Mkristo aliyeuawa wakati wa dhuluma ya Dola la Roma chini ya kaisari Dioklesyano[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Septemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.