Nenda kwa yaliyomo

Antonino wa Apamea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Antonino alivyochorwa.

Antonino wa Apamea (karne ya 3 - Apamea, nchini Syria, 307 hivi) alikuwa kijana wa miaka 20, fundi wa kuchonga mawe, aliyefia imani yake motomoto baada ya kubomoa sanamu za Wapagani[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Septemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/90957
  2. Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001, ISBN|88-209-7210-7)
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.