Nenda kwa yaliyomo

Andrew Robertson

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Andrew Robertson
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaUfalme wa Muungano Hariri
Nchi anayoitumikiaUskoti Hariri
Jina katika lugha mamaAndy Robertson Hariri
Jina la kuzaliwaAndrew Henry Robertson Hariri
Jina halisiAndy Hariri
Jina la familiaRobertson Hariri
Tarehe ya kuzaliwa11 Machi 1994 Hariri
Mahali alipozaliwaGlasgow Hariri
Lugha ya asiliKiingereza Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKiingereza Hariri
Kazimchezaji wa kandanda wa chama Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timufull-back Hariri
AlisomaSt Ninian's High School Hariri
Muda wa kazi2012 Hariri
Mwanachama wa timu ya michezoLiverpool F.C. Hariri
Mchezompira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji26, 3, 26, 3 Hariri
AmeshirikiKombe la Dunia la FIFA 2026 Hariri
LigiLigi Kuu Uingereza Hariri


Robertson akiwa Dundee united

Andrew Robertson (alizaliwa 11 Machi 1994) ni mchezaji wa soka wa Scotland ambaye anacheza kama beki wa kushoto wa klabu ya Liverpool F.C. na timu ya taifa ya Scotland.

Robertson alianza kazi yake na Queen Park FC huko Scotland mwaka 2012 kabla ya kujiunga na Dundee United mwaka ujao. Alijiunga na Hull City mwezi Julai 2014 kwa ada ya £ milioni 2.85, baadae alijiunga na Liverpool mwezi Julai 2017 kwa ada ya £ milioni 8.

Aliisaidia timu yake kufika mpaka fainali ya ligi kuu ya mabingwa wa Ulaya mwaka 2018-19.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Andrew Robertson kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.