Amato wa Nusco

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya sanamu yake.

Amato wa Nusco (Nusco, Campania, Italia, 1003 - Nusco, 1093) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo wa Italia Kusini kuanzia mwaka 1048[1][2].

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Septemba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.