Alexis Sanchez

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alexis Sanchez
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaChile Hariri
Nchi anayoitumikiaChile Hariri
Jina katika lugha mamaAlexis alejandro sanchez sanchez Hariri
Jina la kuzaliwaAlexis Alejandro Sánchez Sánchez Hariri
Jina halisiAlexis Hariri
Jina la familiaSánchez Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa19 Desemba 1988 Hariri
Mahali alipozaliwaTocopilla Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKihispania Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timuwing half Hariri
Mwanachama wa timu ya michezoInternazionale Milano Hariri
Rangi ya nyweleblack hair Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji70 Hariri
LigiSeria A Hariri
Represented byFernando Felicevich Hariri

Alexis Sanchez (amezaliwa tarehe 19 Desemba 1988) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka nchi ya Chile.

Alianza kuchezea klabu ya Barcelona F.C. kabla ya kusajiliwa na klabu iliyoko Uingereza iitwayo Arsenal kabla ya kusajiliwa na wababe wa Old Trafford. Mpaka sasa Alexis anaichezea timu ya Manchester United, ila aliondoka kuelekea italia kujiunga na lnternazionale kwa mkopo.

Alexis Sanchez alianzia mpira nyumbani kwao Tocopila (Chile) kabla ya kusajiliwa na Colocolo ya nyumbani kwao.

Baadae alisajiliwa na Udinese ya Italia kabla ya kupelekwa kwa mkopo huko River Plate ya Argentina.

Alirejea Udinese kabla ya kusajiliwa na Barcelona.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Alexis Sanchez kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.