Alejandro Gómez

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alejandro Gómez
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaArgentina Hariri
Nchi anayoitumikiaArgentina Hariri
Jina katika lugha mamaPapu Gómez Hariri
Jina la kuzaliwaAlejandro Darío Gómez Hariri
Jina halisiPapu Hariri
Jina la familiaGómez Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa15 Februari 1988 Hariri
Mahali alipozaliwaBuenos Aires Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKihispania Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timuForward (association football) Hariri
Muda wa kazi2005 Hariri
Work period (end)2023 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji10 Hariri

Alejandro Darío Gómez (alizaliwa tarehe 15 Februari mwaka 1988) ni mchezaji wa soka wa Argentina ambaye anacheza kama mchezaji wa mbele/winga au nafasi ya kiungo wa kushambulia wa klabu ya Italia iitwayo Atalanta na timu ya taifa ya Argentina.

Gómez ni raia wa Argentina na Italia, baada ya kupata uraia wa Italia mnamo tarehe 14 Mei mwaka 2016, kwa sababu mkewe ni raia wa Italia.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Alejandro Gómez kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.