Agripini wa Napoli
Mandhari
Agripini wa Napoli (pia: Arpino; karne ya 2 - 233) anatajwa kama askofu wa sita wa mji huo wa Italia Kusini. Ni kati ya watu wa kwanza kuitwa katika nyaraka za zamani "Mlinzi wa mji" [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[2].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Novemba[3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ (Kiitalia) http://www.santiebeati.it/dettaglio/90317
- ↑ "Agrippinus of Naples B (RM) (also known as Arpinus)". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-02-06. Iliwekwa mnamo 2020-11-08.
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- A. Rossi, Delle Dissertazioni intorno ad alcune materie alla città di Napoli, vol. 1, 1758, p. 405.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |