Agilolfo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake katika mnara wa ukumbi wa mji wa Cologne.

Agilolfo (alifariki Cologne, 750 hivi) alikuwa Askofu wa Cologne, maarufu kwa maadili na kwa mahubiri[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu, pengine hata mfiadini[2] .

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 31 Machi[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.