Abdulbari Al Arusi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abdul Bari Al Arusi (alizaliwa mwaka 1961) ni mhandisi na mwanasiasa wa Libya. Aliwahi kuwa waziri wa mafuta na gesi wa Libya kuanzia tarehe 14 Novemba 2012 hadi 22 Januari 2014. [1]

Maisha ya Awali na Elimu[hariri | hariri chanzo]

Arusi alizaliwa Zawiya mwaka wa 1961. [2] Alipata shahada ya kwanza ya sayansi katika uhandisi wa kemikali kutoka chuo kikuu cha mafuta cha Tobruk. Mwaka 1988, alipata Shahada ya uzamili kutoka UMIST (kwa sasa ni Chuo Kikuu cha Manchester). Pia ana Shahada ya Uzamivu katika sayansi ya uhandisi na kutu, ambayo alipokea chuoni hapo mwaka 1992. [2]

Uanachama[hariri | hariri chanzo]

Arusi ni mwanachama wa Chama cha Wahandisi wa Kutu kilichopo Marekani na mwanachama wa Taasisi ya Uingereza ya Corrosion. [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Libyan oil minister Arousi resigns, latest blow to sector", 22 January 2014. Archived from the original on 19 May 2014. 
  2. 2.0 2.1 "162nd Ordinary Meeting". OPEC. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2 July 2010. Iliwekwa mnamo 17 February 2013.  Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)
  3. El Mayet, Ibrahim. "Profile of Libya’s New Oil & Gas Minister", Libya Business, 5 November 2012. Retrieved on 17 February 2013. El Mayet, Ibrahim (5 November 2012). "Profile of Libya's New Oil & Gas Minister". Libya Business. Retrieved 17 February 2013.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abdulbari Al Arusi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.