Aïssata Kane

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
assita Toure Kane
Amezaliwa 18 Agosti 1938
Mauritania
Amekufa 10 Agosti 2019
Nchi Mauritania
Kazi yake Mwanasiasa

'Maandishi ya kooze'Aïssata Touré Kane (18 Agosti 193810 Agosti 2019) alikuwa mwanasiasa wa Mauritania na mwanamke wa kwanza kuhudumu serikalini kama waziri.

Baada ya kuwa kiongozi wa vijana wa kike nchini Mauritania wa chama cha watu, alihudumu kwenye baraza la mawaziri chini ya rais Moktar Ould Daddah kutoka mwaka 1975 hadi 1978. Katika hicho ndicho serikali ilipinduliwa.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Aïssata Kane kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.