Alama
Alama (kwa Kiingereza "sign"[1]) ni kitu, mchoro, maandishi, kifaa ambacho hutambulisha kitu kingine, tukio, sehemu n.k.
Baadhi yake ni asili, kwa mfano radi ya umeme na dalili za ugonjwa.
Baadhi zimetungwa na binadamu, kwa mfano vituo katika maandishi na vitendo vya mikono wakati wa kuongea.
Tanbihi
- ↑ New Oxford American Dictionary
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |