Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Kilimanjaro

Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (Kilimanjaro International Airport - KIA) kinahudumia eneo la mlima Kilimanjaro pamoja na miji ya Moshi na Arusha katika Tanzania ya kaskazini. .

Ni kiwanja kidogo kinachofikiwa hasa na ndege za Air Tanzania. Makampuni ya kimatifa yanayohudumia KIA ni hasa KLM kutoka Amsterdam na Ethiopian Airlines kutoka Addis Abbaba.

Mwaka 2004 abiria 294.750 walitumia uwanja huu. Hivyo imekuwa kiwanja cha ndege cha pili katika Tanzania baada ya kiwanja cha Dar es Salaam.

[hariri] Makampuni ya Ndege yanayotumia KIA

[hariri] Viungo vya Nje

Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine