Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro
Kiingereza: Kilimanjaro International Airport
Kilimanjaro Airport.jpg
IATA: JROICAO: HTKI
WMO: 63791
Muhtasari
Aina Matumizi ya Umma
Mmiliki/Opareta Kampuni ya Maendeleo ya Kilimanjaro Airport (KADCO)
Mahali Wilaya ya Hai, Tanzania
Kitovu cha Precision Air
Mwinuko 
Juu ya UB
2,932 ft / 894 m
Anwani ya kijiografia
Tovuti kilimanjaroairport.co.tz
Ramani
JRO is located in Tanzania
JRO
JRO
Mahali ya uwanja nchini Tanzania
Njia ya kutua na kuruka ndege
Mwelekeo Urefu Aina ya
barabara
m ft
09/27 3,600 11,811 Lami
Takwimu (2011)
Idadi ya abiria 650,000

Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (Kilimanjaro International Airport - KIA) kinahudumia eneo la mlima Kilimanjaro pamoja na miji ya Moshi na Arusha katika Tanzania ya kaskazini. .

Ni kiwanja kidogo kinachofikiwa hasa na ndege za Air Tanzania. Makampuni ya kimatifa yanayohudumia KIA ni hasa KLM kutoka Amsterdam na Ethiopian Airlines kutoka Addis Abbaba.

Mwaka 2004 abiria 294.750 walitumia uwanja huu. Hivyo imekuwa kiwanja cha ndege cha pili katika Tanzania baada ya kiwanja cha Dar es Salaam.

Makampuni ya ndege na vifiko[hariri]

Viungo vya Nje[hariri]

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu: