Salmodi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Salmodi (pia: Psalmodius, Psalmet, Sauman, Saumay; aliishi karne ya 7) alikuwa mkaapweke karibu na Limoges, Akwitania, leo nchini Ufaransa[1].

Alitokea funguvisiwa la Britania (Ireland au Uskoti), akiwa mwanafunzi wa Brendan[2] .

Tangu kale ameheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 13 Juni[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/57040
  2. Alban Butler, The Lives of the Fathers, Martyrs, and Other Principal Saints (B. Dornin, 1821), 213.
  3. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.