Mkoa wa Tshopo
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Mkoa wa Tshopo | |
| Mahali pa Mkoa wa Tshopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo | |
| Anwani ya kijiografia: 00°31′N 25°12′E / 0.517°N 25.2°E | |
| Nchi | Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo |
|---|---|
| Wilaya | 7 |
| Mji mkuu | Kisangani |
| Serikali | |
| - Gouverneur | Maurice Tony Ngoy |
| Eneo | |
| - Mkoa | 199,567 km² |
| Idadi ya wakazi (1998) | |
| - Mji | 2,614,630 |
Mkoa wa Tshopo (Chopo) ni moja ya mikoa 26 ya kujitawala ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Idadi ya wakazi wake ni takriban 2,614,630. Mji mkuu ni Kisangani.
[hariri] Picha za Tshopo
| Makala hii kuhusu maeneo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Tshopo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
|
|
|
|---|---|
| Équateur | Ituri | Kasaï | Kasaï Mashariki | Katanga Juu | Kinshasa | Kivu Kaskazini | Kivu Kusini | Kongo Kati | Kwango | Kwilu | Lomami | Lomami Juu | Lualaba | Lulua | Mai-Ndombe | Maniema | Mongala | Sankuru | Tanganyika | Tshopo | Tshuapa | Ubangi Kaskazini | Ubangi Kusini | Wele Chini | Wele Juu | |
| +/- | |
