Mikoa ya Uganda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mikoa ya Uganda (na wilaya za mwaka 2010).

Mikoa ya Uganda ni nne tu: Wa kati, Magharibi, Mashariki na Kaskazini. Kila mmoja umegawanyika katika wilaya. Hizo zilikuwa 56 mwaka 2002,[1] zikafikia kuwa 135 (mbali ya jiji la Kampala) mwaka 2019.[2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "2002 Uganda Population and Housing Census". Uganda Bureau of Statistics. Iliwekwa mnamo 18 June 2013.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Status of Local Governments". Ministry of Local Government. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 18 September 2010.  Check date values in: |archivedate= (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: