Mikoa ya Burkina Faso

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mikoa ya Burkina Faso

Mikoa ya Burkina Faso ni ngazi ya kwanza ya utaguzi nchini Burkina Faso. Kwa jumla kuna mikoa 13 ya kiutawala. Mkuu wa mkoa huitwa gavana .

Mkoa Eneo
(km2) [1]
Idadi ya watu
(2011)
Makao
makuu
Boucle du Mouhoun 34,333 1,631,321 Dédougou
Cascades 18,424 637,279 Banfora
Centre 2,869 2,136,581 Ouagadougou
Centre-Est 14,710 1,302,449 Tenkodogo
Centre-Nord 19,677 1,375,380 Kaya
Centre-Ouest 21,752 1,348,784 Koudougou
Centre-Sud 11,457 722,631 Manga
Est 46,694 1,416,229 Fada N'gourma
Hauts-Bassins 25,343 1,469,604 Bobo Dioulasso
Nord 16,414 1,185,604 Ouahigouya
Plateau-Central 8,545 696,372 Ziniaré
Sahel 35,360 968,442 Dori
Sud-Ouest 16,153 620,767 Gaoua

Mikoa hii imegawanywa katika wilaya 45 (provinces) na kata 351 (communes).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Kigezo:Mikoa ya Burkina Faso