Majimbo ya Ethiopia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Majimbo ya Ethiopia ni vitengo vikuu vya kujitawala chini ya ngazi ya kitaifa katika muundo wa shirikisho la Ethiopia.

Kuma majimbo 9 (kililoch; umoja: kilil) yanayogawiwa kwenye msingi wa lugha kuu zinazojadiliwa katika jimbo pamoja na majiji 2 yenye hadhi ya jimbo (astedader akababiwach, umoja: astedader akabibi) ambayo ni Addis Ababa na Dire Dawa.

Hii ni orodha ya Majimbo (kililoch; singular – kilil) ya Ethiopia:

Orodha [hariri]

Ramani A-Z Jimbo Mji mkuu Eneo (km²) Wakazi (2005) Lugha kuu za jimbo
Ethiopia regions numbered.png
1 Addis Abeba Addis Abeba 530 3.627.934 --
2 Et afaria.png Afar Asayita 96.707 1.389.004 Kiafar
3 Et amhara.svg Amhara Bahir Dar 159.174 19.120.005 Kiamhara
4 Et benishangul.svg Benishangul-Gumuz Asosa 49.289 align=center Berta, Gumuz
5 Dire Dawa Dire Dawa 1.213 398.934 Kioromo, Kiamhara, Kisomali
6 Et gambella.svg Gambela Gambela 25.802 247.000 Nuer, Anuak
7 Et harrar.png Harari Harar 374 196.000 Aderi; Oromo, Somali
8 Et oromo.png Oromia Adama 353.362 25.125.000 Oromo
9 Somali Region.svg Somali Jijiga 279.252 4.329.000 Kisomali
10 Et southern.png Mataifa ya Kusini Awasa 112.343 14.901.990 Sidama, Wolaytta, Hadiyya, Gurage na vingine
11 Et tigray.svg Tigray Mekele 50.078 4.334.996 Kitigray

Tazama pia [hariri]



 
Majimbo ya Ethiopia
Bandera ya Ethiopia
Addis Abeba | Afar | Amhara | Benishangul-Gumuz | Dire Dawa | Gambela | Harar | Oromia | Somali | Mataifa ya Kusini | Tigray