Lusia Filippini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Lusia alivyochorwa.
Sanamu yake katika Basilika la Mt. Petro, kazi ya Silvio Silva, 1949.

Lusia Filippini (Corneto-Tarquinia, Lazio, 16 Januari 1672 - Montefiascone, Lazio, 25 Machi 1732) alikuwa mwanamke wa Italia ya kati ambaye, kwa msaada wa kardinali Marcantonio Barbarigo, alianzisha shirika la Walimu wa Kikristo kwa ajili ya malezi ya wasichana na wanawake, hasa fukara[1].

Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 13 Juni 1926 na mtakatifu tarehe 22 Juni 1930.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 25 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.