Kostanso wa Ancona

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kostanso akisali.

Kostanso wa Ancona (alifariki katika karne ya 5) alikuwa mtawa wa mji huo wa Italia ya Kati[1].

Papa Gregori I aliandika juu yake akimsifu kwa karama ya kutenda miujiza, lakini zaidi kwa unyenyekevu wake mkubwa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Septemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.