Januari mfiadini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha iliyozoeleka ya Mt. Januari.
Kifodini cha Mt. Januari kilivyochorwa na Girolamo Pesce.
Kifodini cha Mt. Januari kadiri ya Artemisia Gentileschi (1636).

Januari mfiadini (Benevento au Napoli, mkoa wa Campania, leo nchini Italia - Pozzuoli, Campania, karne ya 3) alikuwa askofu wa Benevento.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa hasa tarehe 19 Septemba[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.